<?xml version="1.0"?>
<rss version="2.0">
   <channel>
      <title>Mila za Kwetu... by Julius Menzah</title>
      <link>https://padlet.com/jmenzah/rksu1cnm44885cy4</link>
      <description>Fikiria mila yoyote ya jamii yenu au familia ambayo ungependa kuijua vizuri zaidi. Ni gani? Kwa nini ungependa kuijua? Utaijua vipi? Andika mila hiyo na utoe maelezo ya maswali hayo niliyokupa... na ueleze jinsi utakavyoitafutia maelezo yake...Ukiweza kuweka picha ya umachofikiria, itakuwa bora zaidi!!</description>
      <language>en-us</language>
      <pubDate>2020-09-10 21:21:14 UTC</pubDate>
      <lastBuildDate>2025-05-05 11:52:40 UTC</lastBuildDate>
      <webMaster>hello@padlet.com</webMaster>
      <image>
         <url>https://padlet.net/icons/png/1f600.png</url>
      </image>
      <item>
         <title>Joedy</title>
         <author>joedyabuto</author>
         <link>https://padlet.com/jmenzah/rksu1cnm44885cy4/wish/738181958</link>
         <description><![CDATA[<div>Ninge penda kujua pali kabila yangu ili tokea<br><br></div>]]></description>
         <enclosure url="" />
         <pubDate>2020-09-11 11:07:40 UTC</pubDate>
         <guid>https://padlet.com/jmenzah/rksu1cnm44885cy4/wish/738181958</guid>
      </item>
      <item>
         <title>Jina la familia yangu in maanisha...</title>
         <author>khushi_bajaria</author>
         <link>https://padlet.com/jmenzah/rksu1cnm44885cy4/wish/738183566</link>
         <description><![CDATA[<div>Ningependa kujua kuhusu maana ya jina la familia yangu kwa sababu ninatumia jina hilo kwa ajili ya kila kitu ninachofanya kwa hivyo, inabidi nijue ninasimamia nini. Pia, ningependa babu zangu walifikaje hapa nchini Tanzania na kwanini.<br>Nitajua kuhusu maana ya jina kutoka bibi yangu.<br><br></div>]]></description>
         <enclosure url="" />
         <pubDate>2020-09-11 11:09:32 UTC</pubDate>
         <guid>https://padlet.com/jmenzah/rksu1cnm44885cy4/wish/738183566</guid>
      </item>
      <item>
         <title>Jinsi Tulioingia Kwenye Jamii Yetu</title>
         <author>advaitadhutia</author>
         <link>https://padlet.com/jmenzah/rksu1cnm44885cy4/wish/738183616</link>
         <description><![CDATA[<div>Ningetaka kujua jinsi tulioingia kwenye jamii tulio nao. Hii itakusaidia mimi kuijua historia ya familia yangu. Nitauliza babu yangu kwa sababu yeye ndiye yuko mkubwa zaidi kwenye familia na anajua zaidi kuhusu familia yetu. Lakini kwa sababu yeye hayuko hapo Kenya, nitakuuliza Babangu ambaye ako wa pili kuaminika zaidi. Jamii yangu inalingana na jamii ya Hare Krishna na tunajitambua kama 'Vaishnava' </div>]]></description>
         <enclosure url="" />
         <pubDate>2020-09-11 11:09:35 UTC</pubDate>
         <guid>https://padlet.com/jmenzah/rksu1cnm44885cy4/wish/738183616</guid>
      </item>
      <item>
         <title>Nigetaka kujua kuhusu vile nilipata jina langu na pia vile watu husalimiana kwa jamii wa wakikuyu</title>
         <author>andrewkamami</author>
         <link>https://padlet.com/jmenzah/rksu1cnm44885cy4/wish/738183903</link>
         <description><![CDATA[<div>Mimi baba na babu wangu tukona jina la Karanu na Kamami.<br>Nitauliza baba yangu sababu ya jina hizi jina zimepitwa chini na kama ni lazima nizipitishe kwa watoto wangu.<br>Pia naweza kufanya utafiti kuhusu vile jina zinapitishwa kwa utamaduni wa Kikuyu.<br><br>Nataka kujua kuhusu salamu ya wakikuyu kwa sababu itanisaidia kusalimia nyanya yangu kwa njia sahihi nikienda kumtembelea<br><br>1. Mada yako ilikuwa gani?<br>Salamu na majina kwa jamii ya wakikuyu<br><br></div><div>2. Je, umejifunza chochote kuhusu mila yako? gani?<br>Nimejifunza salamu tofauti ambazo zinatumiwa kwa mila ya wakikuyu  na pia vile watu wa wakikuyu wanpata jina wao.</div><div>3. ulipata shida gani ulipojitayarisha? Au kila kitu kilienda sawa? <br>Sikuweza kupata habari mingi kutoka kwa mtandao <br><br></div><div>4. Wakati mwingine tufanye vipi ili tujitayarishe vizuri zaidi? Nitazidisha habari <br><br></div>]]></description>
         <enclosure url="" />
         <pubDate>2020-09-11 11:09:56 UTC</pubDate>
         <guid>https://padlet.com/jmenzah/rksu1cnm44885cy4/wish/738183903</guid>
      </item>
      <item>
         <title>Mavazi ya Kitamaduni</title>
         <author>saharbharwani</author>
         <link>https://padlet.com/jmenzah/rksu1cnm44885cy4/wish/738184978</link>
         <description><![CDATA[<div>Ningependa kujua kuhusu mavazi ya kitamaduni yangu kwa sababu ni muhimu kujua kwanini lazima nivae nguo hizo. hii itakuwa nzuri kujua ili nibebe maarifa hayo kwangu. <br>Nitajua hii kwa ongea mama na baba yangu. </div>]]></description>
         <enclosure url="" />
         <pubDate>2020-09-11 11:11:12 UTC</pubDate>
         <guid>https://padlet.com/jmenzah/rksu1cnm44885cy4/wish/738184978</guid>
      </item>
      <item>
         <title>pahali familia yangu ilitoka</title>
         <author>ashleymutisya</author>
         <link>https://padlet.com/jmenzah/rksu1cnm44885cy4/wish/738185064</link>
         <description><![CDATA[<div>ningetaka kujua  pahali familia yetu ilitoka na vile tulikuja Kenya kwa sababu najua kuna tamaduni na ukoo nyingi tofauti katika familia zinatoka pahali pengine kutoka Africa na nitauliza babu na nyanya yangu</div>]]></description>
         <enclosure url="" />
         <pubDate>2020-09-11 11:11:20 UTC</pubDate>
         <guid>https://padlet.com/jmenzah/rksu1cnm44885cy4/wish/738185064</guid>
      </item>
      <item>
         <title>bendera la ismaili (dini langu)</title>
         <author>mishal_lalani</author>
         <link>https://padlet.com/jmenzah/rksu1cnm44885cy4/wish/738185069</link>
         <description><![CDATA[<div>Ninataka kujua kwanini hii bendera lina umuhmu kwa dini langu la ismaili.<br>- nitauliza mamangu au babngu jinsi ya hii bendera (watu kadhalika kwa familia yangu)<br>-nitauliza viongozi wa dini langu kuhusi hii  bendera<br>- nitaangalia kwenya mtandao</div>]]></description>
         <enclosure url="http://www.crwflags.com/fotw/images/r/rel-iml%5Ei.jpg" />
         <pubDate>2020-09-11 11:11:20 UTC</pubDate>
         <guid>https://padlet.com/jmenzah/rksu1cnm44885cy4/wish/738185069</guid>
      </item>
      <item>
         <title>Mila ya familia yangu </title>
         <author>muntaha_intikhab</author>
         <link>https://padlet.com/jmenzah/rksu1cnm44885cy4/wish/738185255</link>
         <description><![CDATA[<div>Ningependa kujua zaidi kuhusu njia ambayo familia yangu inakumbuka, kumbukumbu ya kilo (death anniversary)  ya babu yangu kila mwaka, baada ya siku tatu za eid ul bhakra. <br>- nitaweza kuuliza babangu na nyanya yangu <br>- ninaweza kuuliza ustadha wangu pia kwa sababu hii inahusiana na dini yangu (islam)<br>Ninataka kujua kuhusu mila huu kwa sababu hufanyika kila mwaka, na familia yote yangu wana kuja pamoja na tuna swali pamoja, pia tuna leta wanafunzi wa madrasa na imam kuswali kwenye nyumba yetu, ndiomana nataka kujua kwa nini tuna swali kwa njia hili wakati huu.</div>]]></description>
         <enclosure url="" />
         <pubDate>2020-09-11 11:11:37 UTC</pubDate>
         <guid>https://padlet.com/jmenzah/rksu1cnm44885cy4/wish/738185255</guid>
      </item>
      <item>
         <title>Tiffany </title>
         <author></author>
         <link>https://padlet.com/jmenzah/rksu1cnm44885cy4/wish/738185415</link>
         <description><![CDATA[<div>Ningependa kujua zaidi kuhusu ukoo wa familia yangu. Hii inalinganishwa na historia ya familia yangu. Nitauliza baba yangu. </div>]]></description>
         <enclosure url="" />
         <pubDate>2020-09-11 11:11:47 UTC</pubDate>
         <guid>https://padlet.com/jmenzah/rksu1cnm44885cy4/wish/738185415</guid>
      </item>
      <item>
         <title>Lugha ya babangu</title>
         <author>maliha_idow</author>
         <link>https://padlet.com/jmenzah/rksu1cnm44885cy4/wish/738186159</link>
         <description><![CDATA[<div>Mimi nigependa kujuwa kuhusu lugha ya babangu- Kiborana. Kwanza nita uliza babangu kuhusu hii, pia nita uliza shangazi na binamu zangu kwasababu wana zungumza kiborana pia. </div>]]></description>
         <enclosure url="" />
         <pubDate>2020-09-11 11:12:39 UTC</pubDate>
         <guid>https://padlet.com/jmenzah/rksu1cnm44885cy4/wish/738186159</guid>
      </item>
      <item>
         <title>Cidi</title>
         <author>cidibwana1</author>
         <link>https://padlet.com/jmenzah/rksu1cnm44885cy4/wish/738186198</link>
         <description><![CDATA[<div>Ningependa kujua mahali jina 'Bwana' lilitokea. Kufanya hivi nitauliza babu na nyanya wangu.</div>]]></description>
         <enclosure url="" />
         <pubDate>2020-09-11 11:12:42 UTC</pubDate>
         <guid>https://padlet.com/jmenzah/rksu1cnm44885cy4/wish/738186198</guid>
      </item>
      <item>
         <title>Mila ya familia yangu</title>
         <author>amyngeno</author>
         <link>https://padlet.com/jmenzah/rksu1cnm44885cy4/wish/738186232</link>
         <description><![CDATA[<div><br>Ningependa  kuelewa jinsi chakula kilichopikwa nyumbani kwetu huchaguliwa. Ningependa kuelewa umuhimu wa kila mlo na umuhimu kwa makabila tofauti yanayowakilishwa nyumbani. Nitauliza mama yangu kwa habari hii na pia nitagundua kutumia mtandao kupata milo tofauti ya kitamaduni.         1. Mada yako ilikuwa gani?<br><em>Vyakula vilivyopikwa nyumbani kwetu.<br></em><br></div><div>2. Je, umejifunza chochote kuhusu mila yako? gani? <br><em>Nimejifunza umuhimu wa vile vyakula vinachaguliwa nyumbani kwetu.<br></em><br></div><div>3. ulipata shida gani ulipojitayarisha? Au kila kitu kilienda sawa? <em>Nilipata shida na kupata tafsiri sahihi ya maneno fulani. </em><br><br></div><div>4. Wakati mwingine tufanye vipi ili tujitayarishe vizuri zaidi?  <br><em>Tunapaswa kuna na jukwaa la kawaida la kutafisri Kiingereza na Kiswahili. </em></div><div><br></div><div><br><br></div>]]></description>
         <enclosure url="" />
         <pubDate>2020-09-11 11:12:44 UTC</pubDate>
         <guid>https://padlet.com/jmenzah/rksu1cnm44885cy4/wish/738186232</guid>
      </item>
      <item>
         <title>Jabali</title>
         <author></author>
         <link>https://padlet.com/jmenzah/rksu1cnm44885cy4/wish/738186665</link>
         <description><![CDATA[<div><br>ningependa kujua jinsi babu na nyanya yangu walikuwa wakiishi nyakati za ukoloni<br><br></div>]]></description>
         <enclosure url="" />
         <pubDate>2020-09-11 11:13:18 UTC</pubDate>
         <guid>https://padlet.com/jmenzah/rksu1cnm44885cy4/wish/738186665</guid>
      </item>
      <item>
         <title></title>
         <author>juwairaa</author>
         <link>https://padlet.com/jmenzah/rksu1cnm44885cy4/wish/738186738</link>
         <description><![CDATA[<div>Ningetaka kujua kwanini kwenye utamaduni yangu tunafanya sherehe ndefu za harusi (siku nne). Ningependa kujua kwa sababu watu wengine husherehekea siku moja tu.  Ninaweza kujua kwa kumuliza mama yangu, kutumia mtandao, na kadhalika. </div>]]></description>
         <enclosure url="" />
         <pubDate>2020-09-11 11:13:22 UTC</pubDate>
         <guid>https://padlet.com/jmenzah/rksu1cnm44885cy4/wish/738186738</guid>
      </item>
      <item>
         <title></title>
         <author>makaylakiruku</author>
         <link>https://padlet.com/jmenzah/rksu1cnm44885cy4/wish/738186943</link>
         <description><![CDATA[<div>Ningependa kujua historia kuhusu familia ya babangu, Kwa sababu katika jamii familia yake inaheshimiwa sana. Kufanya hivyo nitaongea na babangu. </div>]]></description>
         <enclosure url="" />
         <pubDate>2020-09-11 11:13:37 UTC</pubDate>
         <guid>https://padlet.com/jmenzah/rksu1cnm44885cy4/wish/738186943</guid>
      </item>
      <item>
         <title>Asili ya wakikuyu</title>
         <author>ryanmaina</author>
         <link>https://padlet.com/jmenzah/rksu1cnm44885cy4/wish/738187364</link>
         <description><![CDATA[<div>Ningependa kuelewa hadithi ya jinsi ya wakikuyu, navile walivyokuepo. </div>]]></description>
         <enclosure url="https://padlet-uploads.storage.googleapis.com/537162607/f76c02fcd01ac47d9f097814de2aaef4/map_of_kikuyuland.jpg" />
         <pubDate>2020-09-11 11:14:09 UTC</pubDate>
         <guid>https://padlet.com/jmenzah/rksu1cnm44885cy4/wish/738187364</guid>
      </item>
      <item>
         <title>Zahra </title>
         <author></author>
         <link>https://padlet.com/jmenzah/rksu1cnm44885cy4/wish/738187367</link>
         <description><![CDATA[<div>mila ya familia yangu ninayotaka kujua ni kuhushu lugha yetu ya jamii na jinsi ilivyoanza na nitamuliza babu yangu </div>]]></description>
         <enclosure url="" />
         <pubDate>2020-09-11 11:14:09 UTC</pubDate>
         <guid>https://padlet.com/jmenzah/rksu1cnm44885cy4/wish/738187367</guid>
      </item>
      <item>
         <title>Lindi </title>
         <author>namulindennaggenda</author>
         <link>https://padlet.com/jmenzah/rksu1cnm44885cy4/wish/738187488</link>
         <description><![CDATA[<div>Ningependa kujua juu ya ukoo wangu na kabila langu na mila wanazotekeleza, kwa sababu nataka kujua ninakotokea na utamaduni wangu ni nini.</div><div>Nitapata habari kutoka kwa babu na babu yangu na baba yangu.</div>]]></description>
         <enclosure url="" />
         <pubDate>2020-09-11 11:14:18 UTC</pubDate>
         <guid>https://padlet.com/jmenzah/rksu1cnm44885cy4/wish/738187488</guid>
      </item>
      <item>
         <title>Ryan OG </title>
         <author></author>
         <link>https://padlet.com/jmenzah/rksu1cnm44885cy4/wish/738187883</link>
         <description><![CDATA[<div>ningependa kuegemea zaidi juu ya vyakula vyangu vya mila. ningependa kujifunza zaidi juu ya mada hii ili kuelewa mila yangu vizuri. naweza kupata habari hii kutoka kwa familia yangu, kwa kutafuta, na kupitia vitabu</div>]]></description>
         <enclosure url="" />
         <pubDate>2020-09-11 11:14:47 UTC</pubDate>
         <guid>https://padlet.com/jmenzah/rksu1cnm44885cy4/wish/738187883</guid>
      </item>
      <item>
         <title>Jina ya familia yangu</title>
         <author>seankariuki</author>
         <link>https://padlet.com/jmenzah/rksu1cnm44885cy4/wish/738188061</link>
         <description><![CDATA[<div>Ningependa kujua jina la familia yangu lina maana gani na nadhani babu yangu anajua maana yake</div>]]></description>
         <enclosure url="" />
         <pubDate>2020-09-11 11:15:00 UTC</pubDate>
         <guid>https://padlet.com/jmenzah/rksu1cnm44885cy4/wish/738188061</guid>
      </item>
      <item>
         <title>Saruni</title>
         <author>sarunimeely</author>
         <link>https://padlet.com/jmenzah/rksu1cnm44885cy4/wish/738191684</link>
         <description><![CDATA[<div>Ningependa kujua hitory ya chakula kwa familia yangu. </div>]]></description>
         <enclosure url="" />
         <pubDate>2020-09-11 11:19:13 UTC</pubDate>
         <guid>https://padlet.com/jmenzah/rksu1cnm44885cy4/wish/738191684</guid>
      </item>
      <item>
         <title>Zahra </title>
         <author>zahra_mamujee</author>
         <link>https://padlet.com/jmenzah/rksu1cnm44885cy4/wish/767665102</link>
         <description><![CDATA[<div>1. Mada yako ilikuwa gani?<br>Mada yangu ilikuwa kuhusu juu ya laugha ya dini yangu kinachoitwa lisan-ud-dawat.<br><br></div><div>2. Je, umejifunza chochote kuhusu mila yako? gani?<br>kinachofanya ionekane ya kushangaza kwangu ni kwamba ni lugha inayozungumzwa na watu kutoka jamii yetu ya kidini licha ya mahali tunapoishi ulimwenguni. </div><div><br>3. ulipata shida gani ulipojitayarisha? Au kila kitu kilienda sawa? <br>Nilipata shida wakati wa kutafsiri maneno baadhi <br><br></div><div>4. Wakati mwingine tufanye vipi ili tujitayarishe vizuri zaidi?<br>Tukipewa mda zaidi na tuongee kiswahili zaidi katika darasa letu<br><br></div><div><br></div>]]></description>
         <enclosure url="" />
         <pubDate>2020-09-22 11:47:13 UTC</pubDate>
         <guid>https://padlet.com/jmenzah/rksu1cnm44885cy4/wish/767665102</guid>
      </item>
      <item>
         <title>Maliha</title>
         <author>maliha_idow</author>
         <link>https://padlet.com/jmenzah/rksu1cnm44885cy4/wish/783595528</link>
         <description><![CDATA[<div>Mimi nimejivunza kuhusu lugha ya waborana</div>]]></description>
         <enclosure url="" />
         <pubDate>2020-09-28 07:23:48 UTC</pubDate>
         <guid>https://padlet.com/jmenzah/rksu1cnm44885cy4/wish/783595528</guid>
      </item>
      <item>
         <title>Afra </title>
         <author></author>
         <link>https://padlet.com/jmenzah/rksu1cnm44885cy4/wish/783640381</link>
         <description><![CDATA[<div>Mada yangu ilikuwa ni historia wa kabila langu na jinsi walikuha kuishi kwenye Mlima Kilimanjaro.<br>Nimejifunza kuwa mwanzo kulikuwa na koo 15 na watu wa koo walikuwa hawapatani, na wageni walivyokuja ndoo waliweza kushirikiana pamoja na ikawa kabila moja <br>Nilipata shida kidogo kwa sababu sikuelewa maelezo mengine lakini, nilvyomuuliza bibi yangu, niliweza kuelewa <br>Jinsi ya kujitayarisha vizuri ni  mazoezi ya kuongea kabla ya kuwasilisha. </div>]]></description>
         <enclosure url="" />
         <pubDate>2020-09-28 07:50:55 UTC</pubDate>
         <guid>https://padlet.com/jmenzah/rksu1cnm44885cy4/wish/783640381</guid>
      </item>
      <item>
         <title>Vikhil Samani</title>
         <author>vikhilsamani1</author>
         <link>https://padlet.com/jmenzah/rksu1cnm44885cy4/wish/794112043</link>
         <description><![CDATA[Ningeoenda kujua mila gani wakati babu na babu yangu waliishi Uingereza]]></description>
         <enclosure url="" />
         <pubDate>2020-10-01 10:36:43 UTC</pubDate>
         <guid>https://padlet.com/jmenzah/rksu1cnm44885cy4/wish/794112043</guid>
      </item>
   </channel>
</rss>
